Skip to main content
Skip to main content

Magatuzini : KMC yazindua kituo maalum cha kupokea hela Kitengela

  • | KBC Video
    55 views
    Duration: 3:30
    Wanandoa wamehimizwa kupea kipaumbele usalama wao wanapokumbana na ghasia au changamoto zinazohatarisha maisha kwenye ndoa. Wakati uo huo, mashirika ya kutetea haki za binadamu yanayoongozwa na wanawake kutoka kaunti za Laikipia, Isiolo, Samburu, na Marsabit yametoa wito kwa serikali ya kitaifa na zile za kaunti kuanzisha hazina maalum inayodhamiriwa kukabiliana na dhuluma za kijamii zinazohatarisha maisha na usalama wa wasichana katika maeneo hayo. Taarifa kamili ni kwenye mseto wa magatuzi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive