Skip to main content
Skip to main content

Mahakama kuu yaamua NG-CDF ni kinyume cha katiba

  • | Citizen TV
    63 views
    Mahakama ya rufaa inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu uhalali wa hazina ya ustawishaji maeneobunge ng-cdf iliyobatilishwa na mahakama kuu kwamba ni kinyume na katiba. Bunge lilikata rufaaa kuhusu uamuzi wa kubatilisha NG-CDF likitaka hazina hiyo iendelee kusimamiwa na maeneobunge.