Skip to main content
Skip to main content

Mahakama kuu yatupilia mbali ombi la fidia ya waathiriwa wa mlipuko wa 1998 Nairobi

  • | Citizen TV
    5,902 views
    Duration: 3:51
    Imekuwa pigo kwa waathiriwa wa mlipuko wa bomu wa mwaka 1998 jijini nairobi baada ya mahakama kuu kutupilia mbali ombi lao la fidia, hatua iliyohitimisha kesi ambayo wengi walitarajia ingewaletea haki zaidi ya miongo miwili baada ya tukio hilo. Katika uamuzi wake, mahakama imesema kuwa walalamishi walishindwa kuthibitisha kuwa serikali ilikuwa na taarifa za kijasusi ambazo zingesaidia kuzuia shambulio hilo,