- 2,321 viewsDuration: 2:56Mahakama kuu ya Nyeri imemuhukumu kifo mwanamume aliyekubali kumbaka na kumuua mtoto wa miaka saba mwaka jana. Jaji Kizito Magare ametoa hukumu hii dhidi ya Nicholas Julius Macharia, akiyataja mauaji ya mtoto Tamara Blessing Kabura kuwa ya kinyama na yalihitaji adhabu ya juu.