5 Mar 2026 1:13 pm | Citizen TV 257 views Duration: 3:18 Wakazi wa wadi ya Basuba ndani ya msitu wa Boni kaunti ya Lamu wamekuwa wakikabiliwa na baa la njaa kutokana na kiangazi kikali cha muda mrefu. Kiangazi hiki kimesababisha mazao mashambani kunyauka.