- 854 viewsViongozi wakuu wa dunia wanakutana kujadili masuala ya AI mjini Paris ambako mazungumzo ya kidiplomasia yenye changamoto yanatarajiwa wakati ambapo makundi ya teknolojia yanapigania utawala katika sekta ya teknolojia inayosonga kwa kasi. Wakuu wa nchi, viongozi wa juu wa serikali, wakurugenzi wakuu na wanasayansi kutoka nchi 100 wanashiriki katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili unaoanza leo Jumatatu. Wahudhuriaji wakuu ni pamoja na Makamu Rais wa Marekani JD Vance, katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aingie madarakani, na Makamu wa Waziri Mkuu wa China, Zhang Guoqing. Tunaishi katika mapinduzi ya teknolojia na kisayansi ambayo hatujawahi kuyaona, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumapili katika televisheni ya taifa ya Ufaransa. Ufaransa na Ulaya lazima zichukue fursa kwa sababu AI itatuwezesha kuishi vizuri, kujifunza vizuri, kufanya kazi vizuri, kujihudumia vizuri, na ni juu yetu kuiweka akili mnemba katika utoaji huduma ya binadamu, alisema. - VOA. #akilimnemba #ai #ufaransa #mkutano #teknolojia #makamurais #marekani #jdvance #voa #voaswahili
Makamu wa Rais JD Vance ahudhuria mkutano wa AI Ufaransa
- 7 Aug 2025 - Kenya’s healthcare system is once again staring at a looming crisis after KMPDU issued a 14-day strike notice over what it terms as blatant disregard of signed agreements by both the national and county governments.
- 7 Aug 2025 - UN rights chief Volker Turk on Wednesday denounced the Rwanda-backed M23 militia, which he said had killed at least 319 civilians in eastern Democratic Republic of Congo in July.
- 7 Aug 2025 - Israel's military will have to execute any government decisions on Gaza, the defence minister said Wednesday after reported disagreements over the prospect of a full occupation of the Palestinian territory.
- 7 Aug 2025 - The DP said the administration considers the youth bulge as a resource to be tapped into for faster development of the country as opposed to being a challenge and a burden.
- 7 Aug 2025 - The students were to be moved to Talai Secondary School to pave the way for the establishment of Kabarnet University College, which is set to be the first ever, public university in the region.
- 7 Aug 2025 - Seven Ethiopian migrants died of hunger and thirst after their boat's engine failed in the Red Sea, the United Nations migration agency said Wednesday.
- 7 Aug 2025 - Investigations have revealed that the woman shot dead by a police officer in Kanyonyoo, Kitui County, was married and had left her husband at home under the pretext of going to work in Kitengela.
- 7 Aug 2025 - Harambee Stars thirst for another win in Chan fixtures
- 7 Aug 2025 - Phoebe Asiyo: Final farewell to woman who mentored a nation
- 7 Aug 2025 - Why McCarthy could bank on 20-year-old Manzur in his engine room against Angola