- 1,177 viewsMakamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wamefanya mazungumzo ya faragha kabla ya kukutana na waandishi wa habari ambapo Makamu wa Rais ameeleza kuwa wamekubaliana kuongeza ushirikiana katika maeneo kadhaa. Ungana na mwandishi wetu akikuletea taarifa kamili. #makamurais #kamalaharris #rais #tanzania #samiasuluhu #voaswahili #dunianileo Show Less - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Makamu wa Rais wa Marekani afanya mazungumzo na Rais wa Tanzania
- 26 Apr 2024 - A visibly disgruntled Marsabit Governor said the gloves are off and it’s time to face his aggressors head-on, declaring a political war.
- 26 Apr 2024 - A 13-year-old girl made a first appearance in court in Wales on Friday on three counts of attempted murder after two teachers and a pupil were stabbed at a secondary school.
- 26 Apr 2024 - Manyatta Member of Parliament Gitonga Mukunji has raised concerns over the inactive state of the Rehabilitation Fund established to combat drug and substance abuse in the country.
- » 'Don't associate us with hustler culture,' Tanzania rubbishes claims of exporting fake fertilizer to Kenya26 Apr 2024 - Tanzania's minister of Agriculture Hussein Bashe has responded to allegations made by popular Kenyan lawyer Ahmednassir Abdullahi regarding the origin of the fake fertilizer circulating the country
- 26 Apr 2024 - In a statement on X on Friday, KeNHA cautioned that the wearing away of the causeway poses potential hazards to motorists using the adjacent service road
- 26 Apr 2024 - A report will be tabled including the number of government ministries and departments with clean payrolls and will be uploaded in the unified HRMIS.
- 26 Apr 2024 - The burial of Senior Sergeant John Kinyua Muriithi, who died in a helicopter crash two weeks ago, is currently underway in Kirinyaga County.
- 26 Apr 2024 - A 24-year-old suspected drug trafficker was on Friday arrested after police discovered 417 grams of cocaine, worth an estimated Ksh.1.8 million, concealed under the inner sole of his shoes.
- 26 Apr 2024 - The flood disaster that hit Mathare on Tuesday evening and Wednesday morning has brought to light the togetherness of the residents living in the informal settlements. Many of the residents living along Mathare River were displaced on Tuesday night…
- 26 Apr 2024 - The flood disaster that hit Mathare on Tuesday evening and Wednesday morning has brought to light the togetherness of the residents living in the informal settlements. Many of the residents living along Mathare River were displaced on Tuesday night…