Skip to main content
Skip to main content

Makueni yafadhili wanafunzi 81 wa vyuo vikuu

  • | Citizen TV
    246 views
    Duration: 3:22
    Wanafunzi 81 kutoka familia zisizojiweza na waliofanya vyema katika mtihani wa kidato cha 4 mwaka jana wamepata ufadhili wa elimu yao yote ya vyuo vikuu na serikali ya kaunti ya Makueni huku serikali ikitakiwa kupunguza gharama ya elimu ya vyuo vikuu kwani wazazi wengi wameshindwa kumudu gharama hiyo.