Skip to main content
Skip to main content

Makundi mawili ya vijana yakabiliana nje ya kanisa Gatundu, Gachagua ailaumu serikali

  • | Citizen TV
    10,531 views
    Duration: 2:38
    Kizaazaa kilishuhudiwa baada ya Ibada ya jumapili iliyohudhuriwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua kusitishwa kwa muda baada ya makundi mawili ya vijana kukabiliana katika eneo la Gatundu South, kaunti ya Kiambu. Gachagua aliyeshutumu matukio hayo akiwalaumu mahasimu wake wa kisiasa kwa kumlenga.