- 124 views
Watu waliostaafu na wafanyakazi wanaopata marupirupu wamepata afueni baada ya rais William Ruto kutangaza kuondolewa kwa ushuru kwa malipo hayo. Ruto, aliyeongoza nchi katika kuadhimisha sherehe za 60 za sikukuu ya leba jijini Nairobi, pia alisema kuwa waajiri sasa watahitajika kisheria kuitisha kuondolewa kwa ushuru kwa wafanyakazi wanapowasilisha taarifa za ushuru kwa halmashauri ya ukusanyaji ushuru nchini. Mwanahabari wetu John Jacob Kioria anatuarifu zaidi kuhusiana na vishawishi vya rais kwa wafnayakazi na biashara kwa lengo la kuimarisha mapato yao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Malipo ya pensheni na kiiunua mgongo hayatatozwa ushuru
- 17 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament Jayne Kihara was on Thursday afternoon arrested at her home in Nakuru County.
- 17 Jul 2025 - Public Service CS Geoffrey Ruku has announced that the government is working to develop a mobile application to monitor civil servants.
- 17 Jul 2025 - The Kenya Revenue Authority (KRA) has collected Ksh.119.662 billion from the Road Maintenance Levy (RML) at the close of the 2024/25 Financial Year.
- 17 Jul 2025 - President William Ruto has stepped in to resolve the escalating dispute over the Baba Dogo grounds in Ruaraka, Nairobi, ordering an immediate withdrawal of police officers stationed at the contested site.
- 17 Jul 2025 - The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) will be forced to reduce its budget for both the by-elections and the General Elections in 2027.
- 17 Jul 2025 - An Israeli strike on Gaza's only Catholic church killed two people on Thursday, the Latin Patriarchate of Jerusalem said, as Israel said it "never targets" religious sites and regretted any harm to civilians.
- 17 Jul 2025 - President William Ruto has challenged his competitors to outline their alternative agenda for job creation.
- 17 Jul 2025 - Students of Mawego National Polytechnic in Homa Bay County have written to the interior Principal Secretary Raymond Omollo requesting for the reinstatement of Mawego police station to curb the rising cases of insecurity in the area.
- 17 Jul 2025 - She is a trailblazer in the fight for gender equality.
- 17 Jul 2025 - Witnesses said the victim was a physically disabled man.