- 1,497 views
Wingu la simanzi limetanda katika Kijiji Cha Magina eneo bunge la Lari Kaunti ya Kiambu,baada ya mama na mwanawe wa kidato Cha kwanza kuteketea na moto hadi kufa,usiku wa kuamkia leo. Marehemu Esther Njeri aliyekuwa na umri wa miaka 54,alikuwa mama ya watoto watano.Akithibitishwa kisa hicho, naibu chifu wa kata ndogo ya Magina Isaac Muchiri, Kariuki amesema kwamba tayari maafisa wa usalama wameanzisha uchunguzi kubaini chanzo cha moto huo.kwani majirani waliofika katika nyumba hiyo kujaribu kuwaokoa wanasema mlango wa nyumba ya marehemu ulikuwa umefungwa kwa nje.Tayari mabaki ya wawili hao yamepelekwa katika makafani ya hospitali ya Naivasha kaunti jirani ya Nakuru, kusubiri upasuaji wa maiti kwa uchunguzi zaidi.
Mama na mawanawe wateketea hadi kufa Kiambu
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - Chief Justice Martha Koome has called on Kenyans to help the judiciary in dealing with rising cases of Sexual and Gender-Based Violence (SGBV) in the country.
- 13 May 2025 - Kenya Power has announced that parts of the country will experience power disruption on Tuesday due to a planned maintenance schedule.
- 13 May 2025 - The Trump administration welcomed on Monday 59 white South Africans it granted refugee status in the U.S., having deemed them victims of racial discrimination, while drawing criticism from Democrats and stirring confusion in South Africa.
- 13 May 2025 - Peering through a microscope, food scientist Raquel Gomez studies microorganisms that add nutrients and preserve tortillas for several weeks without refrigerators -- a luxury in impoverished Mexican communities.
- 13 May 2025 - The party's Secretary General Hassan Omar issued the stinging statement just hours after Gachagua formally severed ties with UDA, nearly six months after his dramatic impeachment as deputy president on October 18, 2024.
- 13 May 2025 - The forces are constantly under threat from gangs in Haiti who have completely paralyzed operations at the Caribbean nation.
- 13 May 2025 - Ministry of Health has partnered with the Clinton Health Access Initiative (CHAI) to address funding gaps in HIV and tuberculosis TB services
- 13 May 2025 - The latest incident adds to the number of school fires witnessed this year.
- 13 May 2025 - Child protection advocates are sounding the alarm following the release of a new report that uncovers a troubling rise in cases of online sexual exploitation and abuse (OCSEA) involving children with intellectual disabilities in Kenya. The findings have…
- 13 May 2025 - KRA moves to end VAT fraud and curb staff collusion