Skip to main content
Skip to main content

Maraga aendeleza kampeni Migori, aahidi kupambana na ufisadi

  • | Citizen TV
    295 views
    Duration: 2:19
    Kinara wa chama cha UGM David Maraga, amewaahidi wakenya kuwa atavipa kipaumbele vita dhidi ya ufisadi ikiwa watampa nafasi ya kuliongoza taifa kwenye uchaguzi wa mwaka ujao. Magara akiutaja ubadhirifu wa fedha za umma kuwa kizingiti kikubwa kwa huduma bora. Amezungumza alipozuru kaunti ya Migori leo .