Maraga: Kanja, Amin washikwe

  • | Citizen TV
    3,544 views

    Jaji mkuu mstaafu David Maraga amemtaka Inspekta Jenerali wa polisi Douglas kanja, Naibu wake aliyejiondoa Eliud Lagat na Mkurugenzi wa idara ya upelelezi Mohammed Amin kukamatwa na kufunguliwa mashtaka kwa mauaji ya Albert Ojwang’. Maraga ambaye kwa wakati mmoja aliongoza jopokazi la mageuzi katika idara ya polisi ametishia kuwashtaki kibinafsi maafisa hao wakuu, iwapo serikali itaendelea kulegezea Kamba.