Skip to main content
Skip to main content

Marekani: "Msaada zaidi waitajika ili kukabiliana na vita Iran".

  • | BBC Swahili
    1,106 views
    Duration: 5:47
    Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, ameliambia Bunge la nchi hiyo kwamba gharama ya vita dhidi ya Iran ni takriban Dola Bilioni 37. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw