- 4,616 views
Jumatatau maseneta waliwaka moto hadi mida ya usiku wakati wa kujadili uwepo wa kampuni ya Adani nchini. Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya barabara na uchukuzi Karungo wa Thang'wa alipata muda mgumu kutuliza joto la wenzake baada ya kushutumiwa kujaribu kumtetea waziri wa fedha John Mbadi wakati wa kujibu maswali. Serikali inalaumiwa kwa kuchagua kukodisha kiwanja cha ndege cha kimataifa cha J.K.I.A kwa kamouni ya wahindi ya Adani bila kuzingatia kampuni zingine zilizotuma maombi ya kufanya hivyo wala kushirikisha umma.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Maseneta wawaka moto wakati wa mjadala wa uwepo wa kampuni ya Adani nchini
- - Duniani Leo ››
- 6 May 2025 - The Teachers Service Commission (TSC) is inviting applications for the position of Secretary and Chief Executive Officer.
- 6 May 2025 - President Donald Trump's education secretary said Monday that Harvard will no longer receive federal grants, escalating an ongoing battle with the prestigious university as it challenges the funding cuts in court.
- 6 May 2025 - Hype has been building on social media around the Catholic Church's secretive, centuries-old tradition of conclaves to elect a new pope, animating users from the White House on down.
- 6 May 2025 - Successful candidates will serve on permanent and pensionable terms.
- 6 May 2025 - Congo and Rwanda have submitted a draft peace proposal as part of a process meant to end fighting in eastern Congo and attract billions of dollars of Western investment.
- 6 May 2025 - NGAPU is mandated to support National Government administrators – including chiefs and assistant chiefs – in executing their security functions at the grassroots level.
- 6 May 2025 - President William Ruto’s Senior Advisor in the Council of Economic Advisors, based at State House, Moses Kuria, has likened the forthcoming 2027 presidential election to Kenya’s historic multi-party elections of 1992 and 1997. Kuria suggested that just…
- 6 May 2025 - Democratic Alliance Party of Kenya (DAP-K) supporters in Bungoma County have vowed to block a new investor from taking over Nzoia Sugar Company on Thursday, claiming the takeover violates court orders that prohibit leasing the sugar miller. Led by…
- 6 May 2025 - Wheels of Justice: Court stories lined up for today
- 6 May 2025 - How Finance Bill 2025 risks hiking Kenya's clean energy costs