Skip to main content
Skip to main content

Mashabiki wasubiri fainali ya Kombe la Dunia

  • | Citizen TV
    8,143 views
    Duration: 4:44
    Fainali ya Kombe la Dunia itaandaliwa usiku wa leo nchini Marekani, mabingwa watetezi Argentina wakichuana na Uhispania. Nchini Kenya, mashabiki wa kandanda wanakusanyika katika maeneo mbalimbali kutazama mechi hiyo. Tunaungana na mhariri wetu wa michezo Mike Okinyi kwa maelezo zaidi.