30 Apr 2026 1:44 pm | Citizen TV 267 views Mashirika ya kutetea haki Pwani sasa yanamtaka waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kung'atuka mamlakani wakisema ameshindwa kuwapa wakenya usalama baada ya misururu ya mauwaji na makabiliano yanayoshuhudiwa katika baadhi ya maeneo