Mashtaka ya ugaidi dhidi ya Boniface Mwangi yafutwa Kenya
Idara ya Upelelezi wa makosa ya Jinai nchini Kenya imetupilia mbali mashtaka yanayohusiana ya ugaidi dhidi ya mwanaharakati Boniface Mwangi.
Mwangi sasa anakabiliwa na mashtaka ya kumiliki silaha bila kibali na kupatikana na sumu pamoja na vitoa machozi.
Kukamatwa kwake kumekosolewa, huku mashirika ya kutetea haki za binadamu yakikosoa kuwa ni kwa lengo la kukandamiza sauti za upinzani.
Tuhuma dhidi yake zinahusiana na maandamano ya Juni 25.
Wiki iliyopita watu 36 walifikishwa mahakamani kwa shtaka hilo la ugaidi baada ya kushiriki maandamano hayo. Je shtaka la kigaidi linamaanisha nini hasa na ni mtu aina gani anaweza kushtakiwa kwa hili?
Jiunge na @Hamida Abubakar saa tatu usiku kwenye Dira ya Dunia TV mubashara kwenye ukurasa wa YouTube BBC Swahili.
#bbcswahili #kenya #diratv
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
21 Jul 2025
- A recent murder of a patient at KNH sparked concerns over security inside referral hospitals.
21 Jul 2025
- Motorists had earlier threatened to stage protests.
21 Jul 2025
- Duale also announced appointment of an interim CEO.
22 Jul 2025
- Kalombotole is accused of killing two fellow patients, including 38-year-old Edward Maingi, who was bedridden at the time after suffering a stroke. A postmortem conducted at the Kenyatta Funeral Home confirmed that Maingi died from excessive bleeding…
22 Jul 2025
- Speaking in Boston during a diaspora engagement and the launch of Democratic Change Party (DCP) satellite offices at the Well of Worship Hall in Massachusetts, Gachagua addressed the simmering tensions within the opposition over who should be the…
22 Jul 2025
- Hassan Salado, a data analyst and the sixth witness in the ongoing trial, told the court that Odhiambo’s phone signal was traced to the Kivumbini area of Nakuru East between 10:00 a.m. and 10:55 a.m. on January 18, 2025—matching the exact location and…
21 Jul 2025
- According to a statement released Monday, the affected students—drawn from ten public and private universities—were unlawfully submitted for internship placement before completing their academic programmes, in clear violation of the Nursing Council Act…
21 Jul 2025
- Speaking at the funeral of his long-time friend Dionisio Njiru Kanyenji at Gikuyari village in Mbeere North, Ruku said the marginalized Mbeere community has witnessed unprecedented progress under President William Ruto’s leadership, more than under any…
21 Jul 2025
- "Explain to me, if you invade a police station and burn it, you ban courts, what is the crime?"
21 Jul 2025
- Onsongo was suspended over the alleged unlawful submission of nursing internship placements.
21 Jul 2025
- Accidents in MRI rooms are rare occurrences since staff always ensure safety measures are taken.
21 Jul 2025
- Melissa Wilband's four-month-old baby Lexi died in April 2020 at Bristol Children's Hospital.
21 Jul 2025
- Speaking in Chuka during the launch of a road construction project, Ichung’wah condemned Gachagua's call for Kenyans in the diaspora to stop sending money home until President William Ruto’s administration exits office.