- 381 viewsDuration: 3:05Masomo katika shule nyingi za sekondari ya juu kote nchini bado hayajaanza kutokana na kucheleweshwa kwa usambazaji wa vitabu vya mtaala mpya wa cbe. Ingawa serikali inasema vitabu vyote vitawafikia wanafunzi kufikia katikati ya mwezi huu, wakuu wa shule wanaonya kuwa uhaba unaoendelea unaweza kuwalazimu walimu kurejea mafunzo ya mfumo wa 8-4-4.