Skip to main content
Skip to main content

Mauaji Tata Nyamira: Polisi wamsaka kijana aliyekiri kumuua na kuzika msichana

  • | Citizen TV
    11,006 views
    Duration: 2:24
    Polisi kaunti ya Nyamira wameanzisha msako wa kijana mmoja mwenye umri wa miaka 23 aliyekiri kumuuwa msichana mmoja na kuuzika mwili wake katika eneo la Nyamaiya, West Mugirango, kaunti ya Nyamira. Familia, jamaa na majirani walimeshinda katika eneo ambalo kaburi hilo linaaminika kuwa ili shuhudia kufukuliwa kwa mwili wa msichana huyo. Shughuli hiyo inatarajiwa kuanza muda wowote ule