27 Apr 2026 7:23 pm | Citizen TV 1,566 views Duration: 43s Utulivu umeanza kurejea katika kijiji cha kwa kamari, eneo la Tseikuru, kaunti ya Kitui, siku mbili baada ya shambulio kati ya makundi mawili kusababisha vifo vya watu saba na wengine kujeruhiwa.