Skip to main content
Skip to main content

Mawakili 54 kutuzwa taji la mawakili wa hadhi ya juu 'Senior Counsels’

  • | KBC Video
    204 views
    Duration: 1:01
    Kamati ya mawakili wa hadhi ya juu almaarufu ‘Senior Counsels’ imewapendekeza mawakili 54 kutuzwa taji hilo. Miongoni mwa mawakili maarufu kwenye orodha hiyo ni Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, Rais wa chama cha mawakili humu nchini LSK, Faith Odhiambo, aliyekuwa gavana wa kaunti ya Makueni Profesa Kivutha Kibwana na aliyekuwa wakili mkuu wa serikali Kennedy Ogeto. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive