- 444 views
Wakati tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maoni ya umma kuhusu uteuzi wa mawaziri wa baraza la mawaziri inakaribia, kuna ongezeko la shughuli kutoka kwa makundi ya kiraia na watu binafsi. aliyekuwa mwakilishi mkuu wa kinara wa Azimio Raila odinga wakati wa uchaguzi, Saitabao Ole Kanchory, amejiunga na orodha ya wale wanaopinga uteuzi huo mahakamani, anadai kwamba uteuzi wa viongozi wa upinzani katika baraza la mawaziri unadhoofisha jukumu lao la kikatiba la kusimamia na kukosoa serikali. Aidha, harakati za kiraia zinazoongozwa na mawakili zinahamasisha vijana kuunga mkono ombi la kupinga uteuzi huo.
Mawaziri wateule waendelea kupingwa
- 13 Jul 2025 - Talks aimed at securing a ceasefire in Gaza are stalling over the extent of Israeli forces' withdrawal from the Palestinian enclave, Palestinian and Israeli sources familiar with the negotiations in Doha said on Saturday.
- 13 Jul 2025 - The U.N. and the Dutch foreign ministry said on Friday they had cancelled an LGBTQ-themed event in Senegal after the West African nation warned of repercussions for organisers and voiced opposition to all "promotion of the LGBTQI phenomenon".
- 13 Jul 2025 - Kapseret Member of Parliament (MP) Oscar Sudi has offered a heartfelt glimpse into his longstanding friendship with Trans
- 13 Jul 2025 - Abandoned but not alone: Babies with disabilites find hope at KNH
- 13 Jul 2025 - The President is beating drums of war against his own people
- 13 Jul 2025 - Ex-spy master Boinnet lifts lid on intelligence reform battles
- 13 Jul 2025 - While Ruto stutters, unemployment threatens to fuel a youth revolution
- 13 Jul 2025 - President Ruto's loyal attack dog barks loud but he can't bite you!
- 13 Jul 2025 - Why July 7 protests were a nightmare
- 13 Jul 2025 - ODM party leader Raila Odinga has defended his proposal for the formation of a national conclave to chart a new path through collective civic engagement.