Skip to main content
Skip to main content

Mbadi asema kuwa bunge halina mamlaka ya kubatilisha agizo la serikali la kutumia mfumo wa 'EGP'

  • | Citizen TV
    852 views
    Duration: 1:13
    Waziri wa fedha John Mbadi amepuuzilia mbali uamuzi wa bunge wa kusitisha agizo lake la kuwataka maafisa wote wa serikali kuu na kaunti kutumia mfumo mpya wa kieletroniki wa kutoa kandarasi 'egp' akisisitiza kuwa bunge halina mamlaka ya kubatilisha amri ya serikali.