- 69 viewsMeya wa Paris, Anne Hidalgo, aliogelea katika maji yenye matope ya Seine Jumatano kuonyesha kuwa mto huo hivi sasa ni msafi kabisa kwa ajili ya matukio ya kuogelea wakati wa michezo ya Olimpiki. Akiwa amevaa miwani maalum ya kuogelea na nguo za kuogelea, kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 65 aliogelea kifudifudi kabla ya kuuzamisha uso wake na kutambaa ndani ya maji, akikamilisha takriban mita 100 kwenda na kurudi katika mto huo. Alikuwa ameogelea akiwa na maafisa wa ngazi ya juu na Tony Estanguet, mshindi wa medali ya dhahabu mara tatu katika mashindano ya kuendesha mtumbwi, anayeongoza kamati ya maandalizi ya Michezo ya Paris, itakayo funguliwa wiki ijayo Julai 26. “Leo ni uthibitisho kuwa tuko pale ambako tulitarajia kuwa,” Estanguet alisema. “Hivi sasa tuko tayari kuandaa michezo hiyo huko Seine.” Licha ya uwekezaji wa euro bilioni 1.4 ($1.5 bilioni) kuzuia maji taka kuvuja na kuingia katika mto huo, wasiwasi kuhusu mto huo umeenea katika jimbo la Seine kuelekea Michezo ya Paris. Lakini kuanzia mwezi Julai, kutokana na mvua kubwa hatimaye kumekuwa na hali ya hewa ya joto, sampuli zikionyesha mto huo uko tayari kwa ajili ya uogeleaji na mashindano ya Olimpiki. #meya #paris #olimpiki #mto #annehidalgo #voa #michezo #kuogelea #ufaransa #voaswahili
Meya wa Paris aogelea mto Seine kuthibitisha unafaa kutumika kwa Olimpiki
- - Kenya-Finland Ties ››
- 14 May 2025 - Sean "Diddy" Combs' former girlfriend, Casandra Ventura, the star prosecution witness at the hip-hop mogul's sex trafficking trial, testified on Tuesday that her music career began to suffer as she increasingly spent her time participating in days of…
- 14 May 2025 - South Africa's unemployment rate rose in the first quarter of this year, with statisticians fretting that increasing numbers of people appear to have given up looking for work.
- 14 May 2025 - Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu said the military will enter Gaza "with full force" in the coming days, despite ongoing ceasefire efforts and the release of a US-Israeli hostage from the war-ravaged territory.
- 14 May 2025 - Finland President Alexander Stubb has hailed the historical Kenyan Gen Z movement witnessed in June last year during the anti-government protests, saying it was a momentous display of democracy.
- 14 May 2025 - Opposition leaders are now claiming that the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) nominees presented to Parliament for approval to take up management of the electoral body are a project to rig the 2027 General Election.
- 14 May 2025 - The crisis in the country's education sector continues to deepen, with the latest development being a Ksh.62 billion budget shortfall.
- 14 May 2025 - Tanzanian authorities arrested a senior opposition official as he was departing for a political conference in Belgium, his party said on Tuesday, as fears grow of an escalating crackdown ahead of an October election.
- 14 May 2025 - “No clean water. No toilets. No electricity. No well-planned living environment.” That is how Pastor Evans Moseti describes the one-room mabati house he has called home for the past nine years, its blue iron-sheet walls barely holding back Nairobi’s…
- 14 May 2025 - CBK rejects banks' rate cap claims, digs in on Ruto's loan reforms
- 14 May 2025 - How current political ongoings might affect various 'kingpins'