- 69 viewsMeya wa Paris, Anne Hidalgo, aliogelea katika maji yenye matope ya Seine Jumatano kuonyesha kuwa mto huo hivi sasa ni msafi kabisa kwa ajili ya matukio ya kuogelea wakati wa michezo ya Olimpiki. Akiwa amevaa miwani maalum ya kuogelea na nguo za kuogelea, kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 65 aliogelea kifudifudi kabla ya kuuzamisha uso wake na kutambaa ndani ya maji, akikamilisha takriban mita 100 kwenda na kurudi katika mto huo. Alikuwa ameogelea akiwa na maafisa wa ngazi ya juu na Tony Estanguet, mshindi wa medali ya dhahabu mara tatu katika mashindano ya kuendesha mtumbwi, anayeongoza kamati ya maandalizi ya Michezo ya Paris, itakayo funguliwa wiki ijayo Julai 26. “Leo ni uthibitisho kuwa tuko pale ambako tulitarajia kuwa,” Estanguet alisema. “Hivi sasa tuko tayari kuandaa michezo hiyo huko Seine.” Licha ya uwekezaji wa euro bilioni 1.4 ($1.5 bilioni) kuzuia maji taka kuvuja na kuingia katika mto huo, wasiwasi kuhusu mto huo umeenea katika jimbo la Seine kuelekea Michezo ya Paris. Lakini kuanzia mwezi Julai, kutokana na mvua kubwa hatimaye kumekuwa na hali ya hewa ya joto, sampuli zikionyesha mto huo uko tayari kwa ajili ya uogeleaji na mashindano ya Olimpiki. #meya #paris #olimpiki #mto #annehidalgo #voa #michezo #kuogelea #ufaransa #voaswahili
Meya wa Paris aogelea mto Seine kuthibitisha unafaa kutumika kwa Olimpiki
- 17 Jul 2025 - Tiberius Ekisa, the Directorate of Criminal Investigations (DCI) Officer in charge of Nairobi Central, testified before the inquest into Rex Masai's killing on Thursday.
- 17 Jul 2025 - Former Karachuonyo Member of Parliament Dr. Phoebe Muga Asiyo has died in a hospital in North Carolina, United States of America, at the age of 93 years.
- 17 Jul 2025 - A cloud of shock and grief hangs over the Kenyatta National Hospital (KNH) following the mysterious and tragic death of a patient, whose body was discovered in a blood-soaked bed shortly after visiting hours on Thursday afternoon.
- 17 Jul 2025 - Political and religious leaders are top on the list of individuals and entities being investigated by the government for aiding and abetting banditry in West Pokot County.
- 17 Jul 2025 - Civil society group Operation Linda Jamii has filed a constitutional petition challenging the appointment of Michael Nyachae as the chairperson of the board of the Development Bank of Kenya.
- 17 Jul 2025 - Post-mortems were on Thursday conducted on the bodies of two young men who were shot dead by police during the recent Saba Saba protests in Kirinyaga County.
- 17 Jul 2025 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested three senior employees and an intern of the National Treasury following numerous bribery allegations.
- 17 Jul 2025 - WADR representatives, joined by international peace experts, warned that continued conflict threatens to erode hard-won gains in governance, entrepreneurship, innovation, and the rule of law.
- 17 Jul 2025 - The fight for control of the hospital continues.
- 17 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament Jayne Kihara was on Thursday afternoon arrested at her home in Nakuru County.