- 87 viewsMfugaji wa kuku Afrika Kusini apata hasara baada ya kuku wake 40,000 kufa kutokana na ukosefu wa hewa, baada ya kukosekana umeme. Mfugaji huyo anaeleza mikakati yake katika kukabiliana na tatizo hilo la umeme na vipi mfumo huo unaotumia jenereta unavyofanya kazi na katika hali ya dharura kutokana na ukosefu wa umeme nini wafanyabiashara wengine hufanya. Ungana na mwandishi wetu akikuelezea kwa kina changamoto hizo na suluhisho lake. #mfugaji #kuku #afrikakusini #hasara #umeme #jenereta #wafanyabiashara #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mfanyabiashara aeleza changamoto za kukosekana umeme Afrika Kusini
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- 26 Apr 2024 - A 35-year-old rape suspect is nursing a gunshot wound at Siaya County Referral Hospital after he was shot for attacking and seriously injuring a police constable in Alego/Usonga Sub-county.
- 26 Apr 2024 - The exchange rate has been fluctuating between Ksh130 and Ksh134 in recent days.
- 26 Apr 2024 - Several gangs had maintained their stance on chaos amid Ariel Henry's resignation.
- 26 Apr 2024 - At least 110 members of the National Assembly have appended their signature in support of an impeachment motion against Agriculture CS Mithika Linturi.
- 26 Apr 2024 - Findings reveal excessive workload, lack of healthcare access, violence, and limited autonomy for women in the region.
- 26 Apr 2024 - Jonathan Moi's widow made a public appeal, asking well-wishers to donate money for her son's treatment.
- 26 Apr 2024 - The sell-or-ban measure was signed into law by US President Joe Biden on Wednesday.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: 2 minutes Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Health crisis Today marks day […]
- 26 Apr 2024 - Tana River has experienced little rainfall but flash floods have displaced many families.
- 26 Apr 2024 - Reading Time: < 1 minute Leaders from Nyamira County have expressed their anger and disappointment over an upsurge of defilement cases in the area. They […]