- 87 viewsMfugaji wa kuku Afrika Kusini apata hasara baada ya kuku wake 40,000 kufa kutokana na ukosefu wa hewa, baada ya kukosekana umeme. Mfugaji huyo anaeleza mikakati yake katika kukabiliana na tatizo hilo la umeme na vipi mfumo huo unaotumia jenereta unavyofanya kazi na katika hali ya dharura kutokana na ukosefu wa umeme nini wafanyabiashara wengine hufanya. Ungana na mwandishi wetu akikuelezea kwa kina changamoto hizo na suluhisho lake. #mfugaji #kuku #afrikakusini #hasara #umeme #jenereta #wafanyabiashara #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mfanyabiashara aeleza changamoto za kukosekana umeme Afrika Kusini
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - The Trump administration welcomed on Monday 59 white South Africans it granted refugee status in the U.S., having deemed them victims of racial discrimination, while drawing criticism from Democrats and stirring confusion in South Africa.
- 13 May 2025 - Peering through a microscope, food scientist Raquel Gomez studies microorganisms that add nutrients and preserve tortillas for several weeks without refrigerators -- a luxury in impoverished Mexican communities.
- 13 May 2025 - The party's Secretary General Hassan Omar issued the stinging statement just hours after Gachagua formally severed ties with UDA, nearly six months after his dramatic impeachment as deputy president on October 18, 2024.
- - Kenya Power announces day-long power disruption in several regions across the country
- 13 May 2025 - The latest incident adds to the number of school fires witnessed this year.
- 13 May 2025 - Haji: Security at risk without full Sh65bn budget
- 13 May 2025 - KRA moves to end VAT fraud and curb staff collusion
- 13 May 2025 - Police opened fire on demonstrators before Rex Masai's death, inquest told
- 13 May 2025 - Irate wheat farmers protest delayed payment by produce board
- 13 May 2025 - Showdown looms as rival Nyamira Assembly camps meet