- 3,498 views
Mfanyikazi mmoja wa serikali amelala ndani ya afisi yake katika jumba la Harambee ambayo pia ni ofisi ya Rais ili kuzuia afisi yake kuvunjwa kwa ukarabati. Phyllis Anyango Ouko ambaye anafanya kazi katika afisi ya katibu wa usimamizi katika wizara ya usalama wa kitaifa ametakiwa kuhama kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya nane. Lakini Phyllis ambaye ni mlemavu na anatumia gari la magurudumu anasema ataathirika iwapo kambarau zitaharibika wakati wa dharura akisema juhudi za kumuomba mkuu wa utumishi wa Umma Felix Kosgei kumsikiza zimeambulia patupu
Mfanyakazi mlemavu alala afisini kupinga kuhamishwa katika jumba la Harambee
- 1 Aug 2025 - The Democratic Action Party (DAP-K) has resolved to refer all disputes to its Internal Disputes Resolution Committee, following reports of growing divisions that have resulted in the emergence of two rival factions within the party.
- 1 Aug 2025 - A total of 314 cases and five deaths as a result of the Mpox disease, also known as Monkeypox, have been confirmed in Kenya since the outbreak of the disease in July 2024.
- 1 Aug 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has assured teachers of the government’s continuous assessment of the status of education standards in the country.
- 1 Aug 2025 - The High Court in Nairobi has overturned the acquittal of seven individuals linked to the multi-billion Anglo Leasing Scandal, directing them to be put on their defence.
- 1 Aug 2025 - KNUNM Deputy Secretary-General Maurice Opetu said unresolved grievances have left nurses frustrated and overwhelmed.
- 1 Aug 2025 - The agency clarified that the structures erected on the road’s median are temporary hoarding walls to support the construction of a viaduct and serve as safety barriers.
- 1 Aug 2025 - Kizingo Condominium Limited agreed to surrender the property to the government for registration in favour of the KRC.
- 1 Aug 2025 - The meeting also deliberated on whether to expel him entirely.
- 1 Aug 2025 - NTSA noted that the directive takes effect immediately.
- 1 Aug 2025 - Affected countries will face tariffs ranging from 10% to 41%.