Mfumo wa uchaguzi wa Marekani unategemea kura za wajumbe hutumika kumpa ushindi rais
Baada ya kila chama kumteua mteule wa kuwania urais, mteule huyo kimkakati humchagua mgombea mwenza kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Timu huanza kazi kwa bidii kwa kampeni ya matayarisho kwa ajili ya siku ya mwisho ya upigaji kura hapo Novemba 5, Jumanne ya kwanza ya mwezi Novemba.
Siku ya uchaguzi, wapiga waliojiandikisha wanakwenda katika vituo vya kupigia kura kumchagua mgombea uraia wa chama chao.
Rais kimsingi ataamuliwa na mfumo maarufu unaoitwa kura za wajumbe.
Kura za wajumbe inaundwa na wawakillishi, au wapiga kura, ambao wametengwa kulingana na matokeo ya kupiga kura katika kila jimbo. Majimbo yenye idadi kubwa ya watu wana wapiga kura wengi zaidi. Majimbo yenye idadi ndogo ya watu yana wapiga kura wachache.
Kushinda urais, mgombea lazima apate wingi wa kura za wajumbe kiasi cha kura 270.
Wapiga kura halafu wanapiga kura zao mwezi mmoja baadaye. Lakini rais mpya hachukui madaraka mpaka atakapoapishwa mwishoni mwa mwezi Januari.
#kurazawajumbe #electoralcollege #rais #uchaguzimkuu2024 #voa #voaswahili
18 Jun 2025
- Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
18 Jun 2025
- In March this year, UDA and ODM signed an agreement that saw politicians from both parties work together.
18 Jun 2025
- The Bishop adds to the growing list of prominent persons who have spoken after the shooting of a vendor in CBD.
18 Jun 2025
- The protests in Nairobi reportedly injured at least 17 people, including a hawker shot at close range by a police officer.
18 Jun 2025
- Inspector Christine Muthoni of Muthangari Police Station reported the incident early on Tuesday morning.
18 Jun 2025
- In a statement issued Wednesday morning, the Commission expressed deep concern about the violent crackdown on demonstrators demanding the resignation of Deputy Inspector General of Police Eliud Lagatt in the aftermath of the controversial death of…
18 Jun 2025
- Roba’s resignation was communicated through a formal letter dated June 18, 2025, addressed to the County Assembly Clerk, citing “personal reasons” for his decision to step down effective June 17.
18 Jun 2025
- Previously, attacks by most aquatic animals did not guarantee compensation.
18 Jun 2025
- The father of Boniface Mwangi Kariuki, the 22-year-old hawker who was shot in the head by an anti-riot police officer along Moi Avenue in Nairobi during protests, is now appealing for justice and speedy action.
18 Jun 2025
- In March this year, UDA and ODM signed an agreement that saw politicians from both parties work together.
18 Jun 2025
- County says legal fees must adhere to the Advocates Remuneration Order, but some lawyers have expressed frustration over the new vetting process.
18 Jun 2025
- The MP recounted the nature of injuries he witnessed among the victims, describing them as evidence of deliberate attacks.
18 Jun 2025
- The crash, which occurred around 6:00 p.m. and involved three vehicles, injured more than 50 people, including several Moi University students who were on a school bus.