- 212 views
Katibu wa wizara ya afya Mary Muriuki amewataka madaktari kurejea kwenye meza ya mazungumzo bila vikwazo ili kukwamua mazungumzo ambayo yamesambaratishwa na pande zote mbili kuchukua misimamo sugu. akizungumza kwenye warsha ya siku tatu ya maafisa wa afya nyanjani, Muriuki amesema kuwa serikali imejaribu kutimiza baadhi ya malubaliano kwenye mkataba wa 2017 CBA na kutoa shilingi bilioni 2.4 kufanikisha ajira kwa madaktari wanafunzi 3,700. aidha amesema kuwa pesa hizo zitarejeshwa kwa hazina ya kitaifa iwapo KMPDU itakataa hatua hiyo ya serikali.Muriuki amewataka madaktari kurejea kazini mazungumzo yakiendelea.
Mgomo wa madaktari kufika siku 22
- - Quality of education ››
- 2 May 2024 - Survivors of the Maai Mahiu flash floods say they had been warned over the looming danger posed by the Old Kijabe seasonal dam hours before the tragedy struck.
- 2 May 2024 - A police officer died in Matungulu, Machakos County after his car was swept away by floods in River Kware on Wednesday afternoon.
- 2 May 2024 - Nairobi Governor Johnson Sakaja is under fire over the county’s response to floods from the heavy rainfall being experienced across the country.
- 2 May 2024 - He is the only CS with Grade E, according to the Tifa Research opinion poll.
- 2 May 2024 - The journalist who was a marquee addition for the media house officially quit TV47 on Tuesday.
- 2 May 2024 - Education Cabinet Secretary Ezekiel Machogu has been summoned to appear before the National Assembly Committee on Education.
- 2 May 2024 - The plan seeks to cushion the employees from tough economic times.
- 2 May 2024 - Five cabinet sectaries score below D- in the latest performance review, with CS Linturi ranking as the worst minister.
- 2 May 2024 - You also need to ensure that your electricity mains are switched off.
- 2 May 2024 - Protecting sea turtles should one of Kenya's key priorities