Skip to main content
Skip to main content

Mgomo wa wahadhiri katika vyuo vikuu kote nchini waingia siku ya 36

  • | Citizen TV
    697 views
    Duration: 6:50
    Mgomo wa wahadhiri katika vyuo vikuu kote nchini ukiendelea, katika Chuo Kikuu cha Moi, wahadhiri wamesema wataendelea na mgomo huo hadi pale matakwa yao yatakapotekelezwa kikamilifu. Wahadhiri hao wanasema serikali haijali hatma ya wanafunzi wanaosomea katika vyuo vikuu vya umma nchini.