Skip to main content
Skip to main content

Mgomo wa wahadhiri wakwaza masomo, wanafunzi vyuo vikuu waumia

  • | Citizen TV
    417 views
    Duration: 2:43
    Wanafunzi wa vyuo vikuu vya umma wanazidi kuteseka huku Shughuli za masomo zikikwama kwa wiki ya pili sasa. Huku Wanafunzi wakielezea wasiwasi wao, waziri wa elimu Migos Ogamba amewaonya wahadhiri dhidi ya kuendelea na mgomo akiwataka kuheshimu agizo la mahakama na kurejea kazini.