- 17 viewsMgonjwa wa kifua kikuu aeleza hali yake inaendelea kuimarika. Mgonjwa huyu yuko katika wodi ya kifua kikuu. Mgonjwa huyu amemfahamisha mwandishi wetu huko mjini Dar es Salaam kuwa hali yake inaendelea kuwa nzuri tofauti na vile ilivyokuwa awali. Sikiliza nasaha za mgonjwa huyu kwa umma kuhusu njia bora ya kujitambua una tatizo la kifua kikuu. Endelea kusikiliza... #mgonjwa #kifuakikuu #matibabu #tiba #kupima #vipimo #dawa #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Mgonjwa atoa nasaha kwa umma juu ya umuhimu wa kupima TB
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - The former DP is currently embroiled in a heated dispute with the party that led to his ascension to power.
- 13 May 2025 - Oyugi Magwanga narrowly escaped assassination on Sunday after his car was shot at.
- 13 May 2025 - Share markets jumped on Monday after President Trump said weekend talks had resulted in a “total reset” in trade terms between the US and China, a move which goes some way to defuse the high stakes stand-off between the two countries. The talks in…
- 13 May 2025 - Kenya has been named a leading candidate, alongside Ethiopia, to host the 5th Africa Media Convention in 2026.
- 13 May 2025 - Childhood games with family echo in adulthood, reminding us of love, learning, and simple joys
- 13 May 2025 - A protester who was in company of slain activist Rex Masai told a Nairobi court that he saw police officers firing live bullets at the protesters. While recounting the last moments with Masai before trial magistrate Geoffrey Onsaringo, Fredrick Otieno…
- 13 May 2025 - Here is what you need to know to keep up to speed with today’s happenings. Planned protests at Kindiki’s residence Former Kenyatta International Convention Centre (KICC) board chairperson Irungu Nyakera is expected to lead a procession to Karen on…
- 13 May 2025 - The daily struggle many nurses as they strive to deliver quality healthcare to Kenyans.
- 13 May 2025 - Cheruiyot's tees off to victory at Nyanza Golf Club
- 13 May 2025 - One of the suspects in the Kasipul MP Ong’ondo Were’s murder case has been arrested. Isaac Kuria alias ‘Kush’, who was arrested on Sunday at a lodging in Isebania along the Kenya-Tanzania border, is said to have been communicating with a relative in…