Mgonjwa atoa nasaha kwa umma juu ya umuhimu wa kupima TB

  • | VOA Swahili
    17 views
    Mgonjwa wa kifua kikuu aeleza hali yake inaendelea kuimarika. Mgonjwa huyu yuko katika wodi ya kifua kikuu. Mgonjwa huyu amemfahamisha mwandishi wetu huko mjini Dar es Salaam kuwa hali yake inaendelea kuwa nzuri tofauti na vile ilivyokuwa awali. Sikiliza nasaha za mgonjwa huyu kwa umma kuhusu njia bora ya kujitambua una tatizo la kifua kikuu. Endelea kusikiliza... #mgonjwa #kifuakikuu #matibabu #tiba #kupima #vipimo #dawa #voa #voaswahili #dunianileo - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.