- 424 viewsJude Mbaku ni mwanahabari mwingine, na mhariri mkuu wa DMRTV Buea, mkaguzi mkuu wa kuhakiki habari za kweli katika eneo ambalo hapo awali liliathiriwa na habari potofu. Mbaku anasema ameona makundi yanayotumia mitandao ya kijamii kupotosha umma, na matokeo yake ni makubwa. Jude Mbaku wa DMRTV Buea -Mhariri Mkuu anasema: Timu ya Cameroon ilipokwenda Cote d’Ivoire kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, tetesi zilienea kwamba Njie Clinton amejiuzulu kwenye kikosi. Na walioeneza habari hizi walikuwa wapiganaji waliojitenga. Hili halikufanywa kama jambo la makosa. Ilikuwa imeandaliwa vizuri na kutayarishwa vyema ili kupotosha watu. Karloff anasema kuwa waandishi wa habari wa Cameroon wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kuripoti kwa usahihi, ikiwa ni pamoja na ufadhili mdogo, hatari za usalama, na upatikanaji mdogo wa habari. Boris-Kaloff Meneja wa kituo cha CBS Buea anatoa maelezo zaidi: "Nchini Cameroon, ni vigumu kupata takwimu na data. Unajua, nimekwenda kwa wajumbe wa kanda wa usafiri kuulizia takwimu za magari yaliyosajiliwa kusini-magharibi, haswa huko Buea, na nikaambiwa niende kusimama barabarani kuanza kuhesabu magari mimi mwenyewe." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA, Buea, Cameroon. #timu #mpira #cameroon #voa #voaswahili #njieclinton #cotedivoire #judembaku #dmrtvbuea #mharirimkuu #voa #voaswahili #habaripotofu
Mhariri wa Kituo cha DMRTV aeleza jinsi habari potofu zilivyo enezwa katika soka
- 1 May 2025 - A woman has been charged with forgery and making false documents in a protracted legal dispute over a parcel of land near Moi Barracks in Eldoret, Uasin Gishu County.
- 1 May 2025 - Education Cabinet Secretary Julius Ogamba confirmed the disbursement during the Inaugural Education Conference 2026 held at Lake Naivasha Resort.
- 1 May 2025 - Just two months after he warned that his life was in danger, Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were was shot dead on Wednesday evening in Nairobi.
- 1 May 2025 - Erin Patterson, 50, is charged with three murders -- of the parents and aunt of her estranged husband -- and one attempted murder.
- 1 May 2025 - The changes were proposed during the Labour Day celebrations at Uhuru Gardens in Nairobi.
- 1 May 2025 - He says public universities previously on the verge of bankruptcy are now on the path to recovery.
- 1 May 2025 - Meru's growing anger could mark the tipping point in Ruto's grip on Mt Kenya East.
- 1 May 2025 - "We join his constituents, the people of the great county of Homabay, his family, colleagues and friends in mourning."
- 1 May 2025 - Cardinals will begin their secret conclave to elect the new leader of the global Church on May 7.
- 1 May 2025 - Kenya has reaffirmed its position as a continental climate leader with the submission of its Second Nationally Determined Contribution (NDC) to the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC), outlining a bold vision for a climate-…