- 424 viewsJude Mbaku ni mwanahabari mwingine, na mhariri mkuu wa DMRTV Buea, mkaguzi mkuu wa kuhakiki habari za kweli katika eneo ambalo hapo awali liliathiriwa na habari potofu. Mbaku anasema ameona makundi yanayotumia mitandao ya kijamii kupotosha umma, na matokeo yake ni makubwa. Jude Mbaku wa DMRTV Buea -Mhariri Mkuu anasema: Timu ya Cameroon ilipokwenda Cote d’Ivoire kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, tetesi zilienea kwamba Njie Clinton amejiuzulu kwenye kikosi. Na walioeneza habari hizi walikuwa wapiganaji waliojitenga. Hili halikufanywa kama jambo la makosa. Ilikuwa imeandaliwa vizuri na kutayarishwa vyema ili kupotosha watu. Karloff anasema kuwa waandishi wa habari wa Cameroon wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kuripoti kwa usahihi, ikiwa ni pamoja na ufadhili mdogo, hatari za usalama, na upatikanaji mdogo wa habari. Boris-Kaloff Meneja wa kituo cha CBS Buea anatoa maelezo zaidi: "Nchini Cameroon, ni vigumu kupata takwimu na data. Unajua, nimekwenda kwa wajumbe wa kanda wa usafiri kuulizia takwimu za magari yaliyosajiliwa kusini-magharibi, haswa huko Buea, na nikaambiwa niende kusimama barabarani kuanza kuhesabu magari mimi mwenyewe." Ripoti ya Njodzeka Danhatu wa VOA, Buea, Cameroon. #timu #mpira #cameroon #voa #voaswahili #njieclinton #cotedivoire #judembaku #dmrtvbuea #mharirimkuu #voa #voaswahili #habaripotofu
Mhariri wa Kituo cha DMRTV aeleza jinsi habari potofu zilivyo enezwa katika soka
- 17 Jun 2025 - President William Ruto has signed the Anti-Money Laundering and Combating of Terrorism Financing Laws (Amendment) Bill, 2025 into law.
- 17 Jun 2025 - The Higher Education Loans Board (HELB) has announced that over Ksh.40 billion is still outstanding from loan defaulters who borrowed from last year to as far back as over two decades ago.
- 17 Jun 2025 - A federal judge said on Monday that she would issue a brief extension of an order temporarily blocking President Donald Trump's plan to bar foreign nationals from entering the U.S. to study at Harvard University while she decides whether to issue a…
- 17 Jun 2025 - The victim, identified by locals as Moureen, was found lying in a pool of blood with her throat slit, prompting widespread shock and outrage in the quiet village.
- 17 Jun 2025 - Suba North Member of Parliament (MP) Millie Odhiambo has called for thorough investigations into the alleged suicide incident of arrested fisherman at Kipasi police post in Suba North constituency on Sunday.
- 17 Jun 2025 - The national government has launched a Ksh.60 million relief programme for Tana River residents affected by perennial flooding.
- 17 Jun 2025 - Hezena said the prominent family had threatened her late father years ago.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - Ugandan President Yoweri Museveni has signed legislation that allows military tribunals to try civilians, parliament said on Monday, a move opposition leaders said violates a Supreme Court ruling.
- 17 Jun 2025 - HELB recently blacklisted 71,806 loan defaulters.