- 191 viewsMichuano ya Kombe la Dunia ya kipekee ya 2030 itafanyika Ulaya na Afrika kukiwa na ongezeko lakushtukiza la Amerika Kusini katika makubaliano ya kuruhusu michuano ya soka ya wanaume kuanza na sherehe za kuzaliwa za miaka 100 huko Uruguay. FIFA walifikia makubaliano Jumatano kati ya viongozi wa soka barani kuikubali nchi moja tu kuwa mwenyeji wa michuano hiyo ya 2030 katika nchi sita, taasisi inayosimamia michezo hiyo ilisema. Zabuni ya pamoja kati ya Morocco, Ureno iliongezaka na kuiingiza Uhispania mwaka huu na sasa pia inajumuisha zabuni ya mahasimu walioomba muda mrefu nao ni Argentina, Paraguay and Uruguay. - AP #FIFA #WorldCup #FIFA2030 #VOA - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Michuano ya Kombe la Dunia ya Kipekee ya mwaka 2030 kufanyika Ulaya na Afrika
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Kenya Power has announced a blackout affecting most parts of the country due to what it termed as a system disturbance,
- 2 May 2024 - Over 1,000 households in Kibra Constituency affected by the ongoing floods on Wednesday received food distributions from First Lady Rachel Ruto.
- 2 May 2024 - The Kenya Meteorological Services has issued a continued heavy rainfall and strong winds advisory starting from Thursday through to Monday next week.
- 2 May 2024 - KenGen has allayed fears of Masinga Dam bursting its banks due to the ongoing heavy rains amidst fears of an overflow.
- 2 May 2024 - Efforts to impeach Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi gained pace on Thursday after the National Assembly formed a Select Committee to investigate allegations against him.
- 2 May 2024 - The government is now warning that Cyclone Hidaya may soon hit the Coastal region amid the heavy rains presently being witnessed across the country.
- 2 May 2024 - A court assistant in Migori County is set to face charges for allegedly demanding a bribe in order to help an accused person secure a lighter sentence in a criminal case.
- 2 May 2024 - MPs voted to endorse formation of a committee to probe allegations against Linturi.
- 2 May 2024 - The National Transport and Safety Authority (NTSA) has revoked the licences of 64 Public Transport Operators (PTOs) plying various routes across the country.