- 4,071 views
Wanafunzi na wazazi katika kaunti ya Kajiado wamejipata kwenye njia panda baada ya kufika shuleni na kupokea taarifa kuwa kufunguliwa Kwa shule Kwa muhula wa pili kumehairishwa hadi wiki ijayo. Wazazi waliokuwa tayari wamefika Kajiado Mjini wakipanga kuwapeleka wana wao kwenye shule zilizoko nje ya Kajiado walipatwa na mshangao Mkubwa baada ya kupata taarifa hizo wakiwa njiani kuelekea shule. wazazi hao wanasema Serikali ingepaswa Kutoa taarifa hiyo mapema. Wanafunzi wengi ambao walikuwa tayari wamewai shuleni katika shule ya msingi ya Kajiado township wamelazimika kurejea Nyumbani kuendelea na likizo Hadi wiki ijayo wakati shule zitafunguliwa baada ya ufunguzi kuahirishwa Kwa wiki Moja zaidi.
Mkanganyiko kwa wazazi baada ya serikali kuahirisha kufunguliwa kwa shule
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- - Outro ››
- 18 May 2025 - Two people died and 19 others were injured after a Mexican Navy training ship hit the Brooklyn Bridge on Saturday.
- 18 May 2025 - This is not the first Kenyan woman who has been caught at the same airport.
- 18 May 2025 - The areas will face power cuts at diverse times between 8 am and 5 pm
- 18 May 2025 - Several leaders have labelled Gachagua's remarks as 'careless' and 'reckless'.
- 18 May 2025 - The seat demands loyalty, political tact, organisational skills and ability to withstand relentless pressure of opposition politics.
- 18 May 2025 - This is not the first time the popular thrift market has caught on fire.
- 18 May 2025 - Interior CS warns former DP against making remarks that could plunge the country into a crisis.
- 18 May 2025 - Amnesty report exposes systemic racism and brutal mistreatment.
- 18 May 2025 - Here is what you need to know to get up to speed with today’s happenings. Condemnation of Gachagua Leaders allied to the government are expected to continue condemning former Deputy President Rigathi Gachagua over his recent remarks on the 2027…
- 18 May 2025 - Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has slammed former Deputy President Rigathi Gachagua’s political party and accused him of plotting division in the country. The CS who was speaking during a cultural festival in Garissa on Saturday, May 17, 2025…