Skip to main content
Skip to main content

Mkataba wa amani watiwa saini Washington

  • | Citizen TV
    832 views
    Taharuki imetanda katika eneo la kivu kusini, mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, saa chache baada ya mkataba wa makubaliano kutiwa saini ili kurejesha amani katika DRC. Mkataba huo uliotiwa saini na rais wa Rwanda Paul Kagame na mwenzake wa DRC Felix Tshisekedi unatarajiwa kuondoa silaha mikononi mwa wapiganaji wote wakiwemo wale wa M-23, na kuwafungulia mashtaka waliohusika kwenye mauaji ya mamilioni ya watu.