- 11 views
Muungano wa wake wa magavana nchini unataka watengewe mgao wa fedha ili kufadhili miradi ambayo wanazamia katika kaunti zao. Fiona Kiprotich, mkewe gavana wa Elgeyo Marakwet Wisley Rotich ameeleza kuwa wanastahili mgao huo kwa sababu wao hushirikiana na waume wao kufanikisha miradi mbalimbali.akizungumza katika jukwaa la mwanamke na uongozi amesema kuwa mara nyingi wao hukumbana na visa vingi ambapo wao huhitajika kutoa msaada ilhali hawana mgao wao wala nafasi yao haithaminiwi na serikali.tazama
Mke wa gavana wa Elgeyo Marakwet ahamasisha jamii dhidi ya ukeketaji - Mwanamke na uongozi
- - LIVE | TV47 Matukio ››
- 18 May 2024 - The United Democratic Alliance (UDA) party is conducting its second phase of grassroots election in all the 40 wards within Homa Bay County today (Saturday).
- 18 May 2024 - A US Supreme Court justice faced calls on Friday to recuse himself from cases involving Donald Trump after an inverted American flag -- a symbol of the former president's false election fraud claims -- was flown outside his home.
- 18 May 2024 - The Government has committed over Sh3.7bn to help in this situation.
- 18 May 2024 - The closure will begin from Saturday to Monday.
- 18 May 2024 - The head of Canada's Security Intelligence Service warned Canadians against using video app TikTok, saying data gleaned from its users "is available to the government of China," CBC News reported on Friday.
- 18 May 2024 - They are followed by Outering and Kangundo roads which recorded at least 12 deaths each.
- 18 May 2024 - The confrontation escalated as police officers lobbed tear gas canisters to restore peace in the area.
- 18 May 2024 - Puzzle of 2,000 absentee pupils in flood-ravaged Mai Mahiu school
- 18 May 2024 - Governor Kihika, CEO clash over closure of War Memorial Hospital
- 18 May 2024 - Stillbirth: The pain of mothers leaving maternity without their babies