Skip to main content
Skip to main content

Mkurugenzi mpya wa mamlaka ya kudhibiti kamari Peter Maina Karemi achukua ofisi

  • | Citizen TV
    190 views
    Duration: 2:04
    Mkurugenzi mpya wa mamlaka ya udhibiti wa kamari Kenya Peter Maina Karemi ametwaa jukumu hilo kutoka kwake peter mbugi na kuweka bayana kuwa wakenya watarajie mageuzi makubwa katika sekta ya kamari nchini ikiwemo kudhibiti matangazo yote ya uchezaji kamari nchini hadi wakati wa usiku