- 21 views
Matayarisho ya mitihani ya kitaifa ya mwaka huu ya wanafunzi wa gredi ya sita, darasa la nane na kidato cha nne itakayoanza tarehe 28 mwezi Novemba hadi tarehe 23 mwezi Disemba yanaendelea kufanywa. Hii ilithibitishwa leo wakati wa mkutano wa baraza la mawaziri wanaoondoka ulioongozwa na Rais William Ruto.Wakati wa mkutano huo wa pili na baraza la mawaziri la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta, Rais pia aliarifiwa kuhusu marekebisho yanayoendelea ya utekelezaji wa mpango wa afya kwa wote kupitia kwa utekelezaji wa sheria itakayo hakikisha waajiri wote wanatoa malipo ya kila mwezi ya wafanyakazi wao kwa hazina ya kitaifa ya bima ya hospitali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #williamruto #News
Mkutano wa mawaziri | Rais Ruto aongoza kikao cha pili
- - LIVE| TV47 Matukio ››
- - The health impasse ››
- 26 Apr 2024 - A 24-year-old suspected drug trafficker was on Friday arrested after police discovered 417 grams of cocaine, worth an estimated Ksh.1.8 million, concealed under the inner sole of his shoes.
- 26 Apr 2024 - Two Kenya Airways (KQ) employees have been arrested in the Democratic Republic of Congo's capital Kinshasa.
- 26 Apr 2024 - Kirinyaga Governor Anne Waiguru has initiated emergency disaster response measures to deal with floods and other emergencies arising from heavy rains that have hit the County.
- 26 Apr 2024 - A fuel tanker transporting Liquefied Petroleum Gas (LPG) on Friday overturned along the Londiani-Muhoroni Road at Lesirwo area, Kericho County, causing a gas leak on the busy road.
- 26 Apr 2024 - A 52-year-old suspected paedophile has been sentenced to 20 years behind bars for defiling a 12-year-old girl in Taita Taveta.
- 26 Apr 2024 - Kenya has welcomed the swearing in of the Haiti Transitional Presidential Council (TPC), promising to support it in its quest to liberate and lead the troubled Caribbean nation overrun by armed gangs.
- 26 Apr 2024 - Haitian Prime Minister Ariel Henry has resigned, his office said on Thursday, as a transitional council took power intending to return stability to a country where gang violence has caused chaos and misery.
- 26 Apr 2024 - The first phase of the polls was to start Saturday.
- 26 Apr 2024 - The flood disaster that hit Mathare on Tuesday evening and Wednesday morning has brought to light the togetherness of the residents living in the informal settlements.
- 26 Apr 2024 - Police on Friday morning April 26, 2024, apprehended a male passenger travelling on a bus from Moyale to Nairobi who was found in possession of c*****e. According to a statement released by the Directorate of Criminal Investigations (DCI), the man,…