- 88 views
Baraza la kitaifa kuhusu mashujaa limetangaza mpango wa kuweka mnara wa kuwakumbuka wakenya 14 waliofariki katika mkasa wa ajali ya ndege miaka 18 iliyopita katika kaunti ya Marsabit. 14 hao akiwemo waziri wa leba marehemu ahmed khalif na wabunge sita walifariki wakielekea katika mkutano wa amani katika eneo hilo. Baraza hilo limesema ujenzi wa mnara huo utakuwa wa kuwakumbuka mashujaa hao na kuhimiza amani miongoni mwa jamii zinazoishi maeneo hayo. Maafisa wakuu wa baraza hilo, viongozi na wakazi waliozuru eneo la tukio wamehimiza uwiano na umoja.
Mnara wa kuwakumbuka viongozi waliofariki kwenye ajali ya ndege miaka 18 iliyopita huko Marsabit
- 22 Jun 2025 - A woman suspected of conning a Chinese national $101,000 (Ksh.13, 049, 200) in a fraudulent trade deal had been arrested.
- 22 Jun 2025 - President Donald Trump said US air strikes on Sunday "totally obliterated" Iran's main nuclear sites, as Washington joined Israel's war with Tehran in a flashpoint moment for the Middle East.
- 22 Jun 2025 - The Democratic Republic of Congo has extended by three months a ban on exports of cobalt intended to curb oversupply of the electric vehicle battery material, a regulatory agency said on Saturday.
- 22 Jun 2025 - Italian Prime Minister Giorgia Meloni said on Friday she was working with the European Union on a debt-relief initiative for African states - part of Rome's efforts to help development in Africa and address the root causes of mass migration.
- 22 Jun 2025 - Several hundred armed men, many on motorbikes, attacked a Niger army base near the border with Mali, leaving at least 34 soldiers dead and 14 wounded, the Defence Ministry said.
- 22 Jun 2025 - The goons disrupted protests in Nairobi CBD on Tuesday.
- 22 Jun 2025 - Iran's state media admit part of the site was "attacked" but downplays extent of the damage
- 22 Jun 2025 - Kenya's police's dalliance with brutality, impunity stands out among global peers
- 22 Jun 2025 - Esther Passaris: Self-declared police mouthpiece
- 22 Jun 2025 - Gen Zs never left, they changed lanes from streets demos to the podcast mic