- 652 views
Mnara wenye umbo la wimbi la bahari uliojengwa kwa kutumia chupa za plastiki umezinduliwa mjini Diani katika kaunti ya Kwale. Mnara huo uliokarabatiwa kwa kutumia Zaidi ya chupa 7,000 unalenga kutoa hamasisho kwa wakaazi na watalii dhidi ya kuchafua mazingira kwa kutupa plastiki ovyo. Hamasisho inaendelezwa na shirika la kijamii la HERI Kenya, halmashauri ya Mazingira nchini NEMA na Serikali ya kaunti ya Kwale.
Mnara wenye umbo la wimbi la bahari uliojengwa kwa kutumia chupa za plastiki wazinduliwa mjini Diani
- - Duniani Leo ››
- 21 May 2024 - He works with four primary schools and one secondary school with high prevalence.
- 21 May 2024 - The US was not amused with Kenya’s push to embrace trade relations with Iran.
- 21 May 2024 - President Ruto's allies urge politicians in Deputy President's camp to stop the squabbling.
- 21 May 2024 - The commission allocated Sh13 billion to implement collective bargaining agreement.
- 21 May 2024 - High prices slash petroleum import bill
- 21 May 2024 - 850,000 new jobs created last year signal economy is on the mend
- 21 May 2024 - State set to double health expenditure to Sh161.8 billion
- 21 May 2024 - Among made it clear that hosting Afcon would be very beneficial to all Ugandans.
- 21 May 2024 - The Olympic qualifying mark for the women’s 10,000m is 30:40.00 whereas Anyango boasts a personal best (PB) of 32:51.58 set at the Fernanda Ribeiro Gala in Maia, Portugal.
- 21 May 2024 - He made his first Olympic appearance during the 2016 Rio Olympics in the 5,000m, where he finished in position 12 clocking 13:30.95.