Moscow: Rais Xi asisitiza China na Russia zitaendelea kulinda kanuni za msingi za UN

  • | VOA Swahili
    2,181 views
    Wakati wa kukamilisha ziara yake huko Moscow, Rais wa China Xi Jinping aeleza kuwa kama wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa China na Russia zitaendelea kufanya kazi na jumuiya ya kimataifa. - Pia amesisitiza ataendelea kulinda kanuni za msingi za uhusiano wa kimataifa kulingana na malengo na misingi ya mkataba wa UN. #voaswahili #dunianileo #moscow #xijinping #vladimirputin - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.