- 2,181 viewsWakati wa kukamilisha ziara yake huko Moscow, Rais wa China Xi Jinping aeleza kuwa kama wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa China na Russia zitaendelea kufanya kazi na jumuiya ya kimataifa. - Pia amesisitiza ataendelea kulinda kanuni za msingi za uhusiano wa kimataifa kulingana na malengo na misingi ya mkataba wa UN. #voaswahili #dunianileo #moscow #xijinping #vladimirputin - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Moscow: Rais Xi asisitiza China na Russia zitaendelea kulinda kanuni za msingi za UN
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 13 May 2025 - The Trump administration welcomed on Monday 59 white South Africans it granted refugee status in the U.S., having deemed them victims of racial discrimination, while drawing criticism from Democrats and stirring confusion in South Africa.
- 13 May 2025 - Peering through a microscope, food scientist Raquel Gomez studies microorganisms that add nutrients and preserve tortillas for several weeks without refrigerators -- a luxury in impoverished Mexican communities.
- 13 May 2025 - The party's Secretary General Hassan Omar issued the stinging statement just hours after Gachagua formally severed ties with UDA, nearly six months after his dramatic impeachment as deputy president on October 18, 2024.
- - Kenya Power announces day-long power disruption in several regions across the country
- 13 May 2025 - The latest incident adds to the number of school fires witnessed this year.
- 13 May 2025 - Haji: Security at risk without full Sh65bn budget
- 13 May 2025 - KRA moves to end VAT fraud and curb staff collusion
- 13 May 2025 - Somalia rolls out voter registration after 56 years of electoral drought
- 13 May 2025 - Why Kenya lost Sh7 billion in exports to EAC
- 13 May 2025 - Police opened fire on demonstrators before Rex Masai's death, inquest told