- 2,181 viewsWakati wa kukamilisha ziara yake huko Moscow, Rais wa China Xi Jinping aeleza kuwa kama wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa China na Russia zitaendelea kufanya kazi na jumuiya ya kimataifa. - Pia amesisitiza ataendelea kulinda kanuni za msingi za uhusiano wa kimataifa kulingana na malengo na misingi ya mkataba wa UN. #voaswahili #dunianileo #moscow #xijinping #vladimirputin - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Moscow: Rais Xi asisitiza China na Russia zitaendelea kulinda kanuni za msingi za UN
- - LIVE || TV47 WIKENDI ››
- - Duniani Leo ››
- 20 Apr 2024 - A man set himself on fire on Friday outside the New York courthouse where Donald Trump's historic hush-money trial was taking place as jury selection wrapped up, but officials said he did not appear to have been targeting Trump.
- 20 Apr 2024 - Some 800,000 people in a Sudanese city are in "extreme and immediate danger" as worsening violence advances and threatens to "unleash bloody intercommunal strife throughout Darfur," top U.N. officials warned the Security Council on Friday.
- 20 Apr 2024 - A 45-year-old man tragically lost his life while trying to cross a flooded swamp in Kiamaciri village, Mutithi ward, Mwea West Sub-county, Kirinyaga County.
- 20 Apr 2024 - The employees were grilled over various allegations by the EACC.
- 20 Apr 2024 - Government splashes Sh100m for tourists comfort zones in counties
- 20 Apr 2024 - Ray of hope as doctors' talks with the government gain momentum
- 20 Apr 2024 - Military prepares for first of its kind CDF burial
- 20 Apr 2024 - Only bold commitment to action, not conferences will end wage bill crisis
- 20 Apr 2024 - How bold climate leadership can create decent jobs
- 20 Apr 2024 - CDF Ogolla was among NSAC members who went to Bomas to meet Chebukati on eve of results announcement. In his SMS to Gen Kibochi, he informed him visit was about politics, not security.