- 196 viewsKanda ya video iliyochukuliwa na ndege isiyokuwa na rubani kutoka kusini mwa Israel imeonyesha moshi mnene ukifuka kutoka katika majengo yaliyoharibiwa huko kaskazini mwa Gaza siku ya Alhamisi (Desemba 12), wakati vita vikiendelea kati ya Israel na Hamas. Vita vilianza baada ya watu wenye silaha wa kikundi cha Hamas kuzivamia jamii za Israel mnamo Oktoba 7, 2023, na kuua kiasi cha watu 1,200 na kuwateka takriban watu 250 na kuwapeleka katika eneo la Gaza, kwa mujibu wa hesabu za Israeli. Tangu wakati huo, jeshi la Israel limeharibu maeneo ya Gaza, na kuwaua karibu Wapalestina 45,000, na kuwakosesha makazi takriban wote milioni 2.3 na kuongezeka kwa njaa na magonjwa, kulingana na mamlaka ya afya za Palestina. Waisraeli na Wapalestina wanaonyesha juhudi mpya ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano, ikiwa ni mara ya kwanza kwa mwaka mzima, kusitisha mapigano huko Gaza na kuwarejesha Israel angalau mateka 100 ambao bado wanashikiliwa na Wapalestina huko Gaza. - Reuters #israel #wapalestina #shambulizi #vifo #Nuseirat #gaza #hamas #mateka #voa #voaswahili
Moshi mnene wafuka kutoka katika majengo wakati vita ikiendelea kati ya Israel na Hamas
- 17 Jun 2025 - Siaya Resident Magistrate’s Court has ordered blogger Michael Oduor, also known as Mike Ochieng, to pay Ksh.3 million in general damages for defamation.
- 17 Jun 2025 - Anti-riot police officers on Tuesday opened fire at a hawker selling face masks at close range along Moi Avenue in Nairobi CBD during the demonstrations calling for the resignation of Deputy Inspector General Eliud Lagat.
- 17 Jun 2025 - Seven police officers suspected of shooting and killing Daniel Mwangi in London Estate, Nakuru, on June 9, have been detained for seven more days, pending investigations by Independent Policing Oversight Authority (IPOA).
- 17 Jun 2025 - The Bill had also called for a review of statutory deductions, such as the NHIF, NSSF, and housing levy, to a progressive structure
- 17 Jun 2025 - Court rules that Mr Wilfred Nyagudi suffered reputational harm as a result of the posts which first appeared on Facebook.
- 17 Jun 2025 - A protester was reportedly shot dead in the CBD.
- 17 Jun 2025 - Karua said killing of man in CBD was “another extra judicial execution.”
- 17 Jun 2025 - Despite a heavy presence of police in Kisumu, the city did not witness any demonstrations
- 17 Jun 2025 - Images seen by the Star, show the deceased shot at close range by a police officer
- 17 Jun 2025 - The matatu operators promised to halt transport services until their demands are met.