- 616 views
Mrengo wa upinzani nchini umetoa tahadhari kuhusu uasi mkubwa wa umma unaolenga serikali kuhusiana na kutia saini kuwa sheria mswada wa Fedha wenye utata wa 2023/2024.Gavana wa Siaya James Orengo na Mbunge wa Rarieda Otiende Amollo, wameeleza kuwa kuna miadi na serikali siku ya Ijumaa, maadhimisho ya siku ya Saba Saba watakapozindua mikakati inayolenga kuwajibisha serekali ya Kenya Kwanza kuhusu mahitaji ya msingi ya wakenya.Wakizungumza katika Kanisa la St Paul’s ACK Lihanda katika eneo bunge la Gem, wanaeleza kuwa inasikitisha sana kwamba mishahara ya Wakenya itapunguzwa kwa asilimia 1.5 kutekeleza miradi ya ujenzi wa nyumba na wawekezaji pia hawatasazwa, kwani watatozwa ushuru kwa kila uwekezaji wanaoweka nchini.
Mrengo wa Upinzani watumia sabasaba kushinikiza mabadiliko katika mswada wa Fedha 2023/2024
- 11 Aug 2025 - Speaking when he commissioned classrooms and a water Project, Funyula, Busia County, Mudavadi, the former DP was a bitter person who had spent his entire time on his US tour planting tribalism abroad.
- 11 Aug 2025 - The head of a powerful Tunisian trade union confederation called on Monday to defend the group after protesters backed by President Kais Saied levelled harsh accusations against it.
- 11 Aug 2025 - Kenya and the U.S. state of California are strengthening cooperation in technology, climate innovation, and sustainable development, President William Ruto announced on Monday.
- 11 Aug 2025 - Fresh fighting between the Somali government and forces loyal to the semi-autonomous southern Jubaland region killed at least two Somali soldiers on Monday, the defence ministry said.
- 11 Aug 2025 - Justice Bahati Mwamuye issued the directive after lawyer Kibe Mungai, representing the petitioner, informed the court that the DPP had yet to file his response, stalling progress in the case.
- 11 Aug 2025 - Police in Kilifi County say they have discovered seven shallow graves with human bones and skulls at Kwa Binzaro village.
- 11 Aug 2025 - Twice a week -- on Mondays and Fridays -- a dedicated team of 10 youth patrol a three-km stretch of Coco Beach, collecting up to 400 kg of waste.
- 11 Aug 2025 - The union says recent reforms in the police service should set a precedent.
- 11 Aug 2025 - The Nairobi Hospital on Monday announced it had suspended the implementation of its recently announced price adjustments following a meeting with medical insurance providers.
- 11 Aug 2025 - The transplant surgery took place on February 12, 2025, after all necessary processes were completed.