- 1,470 views
Afisa katika afisi ya rais farouk kibett amewataka watu wanaoishi katika maeneo yaliyo katika hatari ya kukumbwa na mafuriko kuhamia maeneo salama ili kuepuka maafa yanayotokana na mafuriko. Kibet alisema haya alipoongoza harambee ya ujenzi wa kanisa katoliki la chelelemuk eneo bunge la Teso Kaskazini. Kiongozi wa wengi katika bunge la kitaifa Kimani Ichungwa na mwenzake wa seneti Aaron Cheruyot walimshutumu kinara wa azimio raila odinga kuhusu matamshi yake ya hapo jana alipokosoa serikali kuhusiana na jinsi inavyokabiliana na janga hili la mafuriko.
Msaidizi wa rais Farouk Kibet ataka Wakenya kuondoka maeneo yaliohatarini ya mafuriko
- 18 May 2024 - At least 50 people are dead following a fresh bout of heavy rain and flooding in central Afghanistan, an official said on Saturday.
- 18 May 2024 - At least eight people have been confirmed dead after a bus they were travelling in plunged into a river in Gataka area on the border between Nairobi and Kajiado North.
- 18 May 2024 - The government has announced plans to build a new Ministry of Foreign Affairs headquarters in Nairobi.
- 18 May 2024 - Some of Donald Trump's allies are assembling proposals to curtail the Justice Department's independence and turn the nation's top law enforcement body into an attack dog for conservative causes, nine people involved in the effort told Reuters.
- 18 May 2024 - Outspoken lawyer Miguna Miguna has shared his recovery journey after sustaining a minor leg injury.
- 18 May 2024 - Police in Ugunja, Siaya County are investigating the death of a 35-year-old man whose body was found hanging in his rented house within Ugunja town on Saturday morning.
- 18 May 2024 - The bus was heading to Nairobi from the Gataka area on Saturday morning.
- 18 May 2024 - 176 people have died in road accidents along Nairobi roads from January 2024.
- 18 May 2024 - President Ruto was received by Interior Cabinet Secretary Kithure Kindiki, his Defence counterpart Aden Duale and Chief of Defence Forces Gen Charles Kahariri among other top officials.
- 18 May 2024 - Saboti Member of Parliament Caleb Amisi has expressed concerns about the leadership of President Wi*liam Ruto and his deputy Rigathi Gachagua. Amisi believes that their actions could have detr*mental effects on Kenya. Amisi accuses the two leaders of…