Shirika la misaada ya kibinadamu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba hali katika jimbo la Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo inazidi kuwa mbaya. MSF inasema watu huko wanakabiliwa na mashambulizi ya vurugu, kulazimishwa kukimbia nyumba zao, na kuhangaika kupata huduma za matibabu. Katika ripoti hiyo mpya, MSF inasema maisha yanazidi kuwa hatari zaidi kwa jamii zilizoko kwenye mzozo huko mashariki mwa DRC, ambapo Umoja wa Mataifa unasema mapigano hayo yamewafanya zaidi ya watu laki moja kukosa makazi. Tangu mwanzo wa mwaka huu, zaidi ya watu 200 wameuawa katika mashambulizi, na wengine wengi kujeruhiwa. MSF inasema madaktari wao wamewatibu manusura wa mashambulizi ya mapanga na risasi, wakiwemo watoto na wanawake wajawazito.
24 Apr 2025
- The Democratic Republic of Congo and Rwanda-backed M23 rebels on Wednesday pledged in statements released after talks in Qatar to work towards peace after violence flared in January, raising fears of a wider regional war.
24 Apr 2025
- China is considering building a nuclear plant on the moon to power the International Lunar Research Station (ILRS) it is planning with Russia, a presentation by a senior official showed on Wednesday.
24 Apr 2025
- Hamas's armed wing released a video Wednesday showing an Israeli-Hungarian hostage walking through a tunnel in Gaza and lighting a candle to mark his birthday.
24 Apr 2025
- Kenya officially joins Board of the Sahara and Sahel Observatory (OSS) as the 3rd Vice President reaffirming position in climate resilience
24 Apr 2025
- Two US marines in Japan’s Okinawa are under investigation for alleged rapes, police said Thursday, the latest in a string of assault cases that have angered residents. The United States has around 54,000 military personnel stationed in Japan — mostly on…