Skip to main content
Skip to main content

Mshukiwa akamatwa na kufikishwa mahakamani marakwet kwa kuteketeza makazi

  • | Citizen TV
    295 views
    Mshukiwa mkuu katika uvamizi wa uchomaji wa nyumba na Uharibifu wa mali katika kijiji Kapkanyar eneo mbunge la Marakwet West Pius Yano alikamatwa na kufikishwa mahakamani jijini Iten.