- 723 views
Polisi mjini Kabarnet wamefanikiwa kuupata mwili wa mhudumu wa bodaboda ambaye alikuwa ametoweka tangu Alhamisi, tarehe 17 Aprili. Hii ni baada ya mshukiwa kukamatwa katika mji wa Eldoret akiendesha pikipiki ya marehemu. Mshukiwa alikiri kumuua mwanaume huyo na kuwaongoza polisi hadi eneo la Kabartonjo, ambako alikuwa ameuficha mwili kwenye kichaka ndani ya bonde. Marehemu, Kevin Kibichii Togoch, anasemekana kuwa alipigiwa simu na mteja aliyekuwa ndani ya mji wa Kabarnet siku ya Alhamisi , simu ambayo inasadikika kuwa mtego kabla ya kutoweka.
Mshukiwa wa mauaji ya mwanabodaboda Kabartonjo akamatwa
- 1 Jun 2025 - This is the first time Homabay is hosting national celebrations.
- 1 Jun 2025 - The MP has had several close encounters with the police since announcing his presidential bid.
- 1 Jun 2025 - The consignment is currently in the custody of customs officials.
- 1 Jun 2025 - President Musar expressed deep gratitude for the invitation, calling it an unexpected but touching honor.
- 1 Jun 2025 - Former Harambee Starlets and Sofapaka coach David Ouma is one game away from claiming a maiden silverware in the Tanzania league after guiding Singida Black Stars to the cup final of CRDB Federation Cup on Saturday, May 31, 2025. Ouma charges beat…
- 1 Jun 2025 - President Musar emphasized the shared values between Slovenia and Kenya, particularly a firm belief in the role of the United Nations, international law, and open dialogue in solving today’s global challenges.
- - 62nd Madaraka Day fete
- 1 Jun 2025 - The items will either be sold through public auction or private treaty.
- 1 Jun 2025 - People flocked to the newly upgraded Raila Odinga Stadium from 9 pm.
- 1 Jun 2025 - Kindiki set aside his usual measured tone as he accused Gachagua of attempting to police loyalty through intimidation.