Skip to main content
Skip to main content

Msongamano bandarini Mombasa uongezeka 10.9% baada ya kura Tanzania na Uganda

  • | Citizen TV
    2,819 views
    Duration: 2:54
    Uchaguzi mkuu wa hivi majuzi nchini Tanzania na uganda umeonakana kuifaidi Kenya na kuchangia kwa mrundiko wa makasha bandarini. Halmashauri ya bandari nchini ikisema imesajili ongezeko la takriban asilimia 11 ya shehena zilizoingia humu nchini mwaka jana