- 139 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
Mtaalamu aeleza kuhusu usalama wa akina mama wajawazito kujifungua kwa njia ya maji 'Water birth'
- - KTN PRIME Highlights ››
- 6 Aug 2025 - Two civil society organisations have moved to court to challenge the nomination of Dr. Duncan Oburu Ojwang as Chairperson of the KNCHR, citing a violation of constitutional gender provisions.
- 6 Aug 2025 - So, what really triggered the call to reassess Kenya’s US non-NATO major ally status?
- 6 Aug 2025 - President William Ruto and ODM party leader Raila Odinga have formed a five-member committee tasked with implementing the agenda of the broad-based government and the National Dialogue Committee (NADCO) report.
- 6 Aug 2025 - Captain Ibrahim Traore has made shockwaves across Africa and the wider world. Burkina Faso’s interim President is hailed as a revolutionary leader, extricating his country from the clutches of French colonial rule.
- 6 Aug 2025 - A Kenyan-born pastor and her family are facing deportation to their homeland after their application for permanent residency on humanitarian and compassionate grounds was denied.
- 6 Aug 2025 - A woman has been found guilty of killing her lover back in 2020 in Nanyuki County.
- 6 Aug 2025 - As captured during EACC survey
- 6 Aug 2025 - National Police Service says it's treating the matter with “the urgency and gravity” it deserves
- 6 Aug 2025 - Human rights activists are calling for the disbandment of the National Police Service (NPS) following damning revelations in the latest EACC corruption index, which ranks the security organ among the most corrupt institutions in the country.
- 6 Aug 2025 - Cabinet Secretary for Public Service Geoffrey Ruku has issued a stern warning to corrupt public officers, calling on the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) to swiftly arrest all individuals implicated in recent graft reports.